> UNA TANZANIA> Yajikita katika kutoa Elimu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana nje ya Shule kwa kata 10 katika Wilaya ya Kinondoni,ikiwa lengo ni kufikia Vinaja 150 wa nje ya shule katika wilwya ya kinondoni kwa miezi 6
> MRADI huu wenye jina la "PAMBAZUKO" (Elimu ya AFYA YA uzazi kwa Vijana nje ya Shule) Unao fadhiriwa na Serikal ya UFARANSA unalenga vijana waliyo nje ya shule
na makundi maalumu.
February 4, 2017