wajuwa yakuwa kila siku iendayo kwa mungu takribani wanawake 24 wana FGARIKI DUNIA kwaajili ya UZAZI?
CLUB ya UNA MAZINGIRA Wakiweka jiji safi katika kata ya MAGOMENI Mtaa wa makuti B
wana UNA wakiandaa TAMTHILIA ya NUSURA Inayo Rushwa na Runinga ya Taifa TANZANIA-TBC1 Kila jumamosi saa 2:30usiku baada ya habari na kurudiwa kila siku ya jumatatu saa 5:30asubuhi karibu sana katika kutoa maoni yako kupoitia moja kwa moja kwenye namba yetu katika kipindi na pia kupitia PAGE YETU YA NUSURA- EMAIL:unagroup2011@yahoo.com FACEBOOK:unagroup@ymail.com
HAKUNA NJIA RAHISI KATIKA MAPIGANO YA KUTAFUTA MAISHA DHIDI YA KUPIGANA PIA PIGANO LINA WEZA KUWA LA KITAMBO KIDOGO LAKINI LIKIWA NA TIJA
TATHIMINI ZILIZO FANYWA NA WATAFITI WA HAKI ZA BINADAMU IMEGUNDULIKA YAKUWA KILA SIKU IYENDAYO KWA MUNGU MAMA NA MTOTO HUFA ZAIDI YA 10 DHIDI YA MAHITAJI YA KUPATIWA DAMU HIVYO UNA KUPITIA CLUB YAKE YA UNA OKOA MAISHA KUWASAIDIA WAMAMA HAO NAWATOTO KUTO POTEZA MAISHA YAO KWA MAHITAJI YA DAMU CHANGIA DAMU UOKOE MAISHA YA MAMA NA MTOTO