Parts of this page are in Swahili. Edit translations
kuhamasisha na kushawishi jamii juu ya ushirikishwaji wao katika kuwalea mvccs
baadhi ya wananchi hawajui kiswahili, wanongea lugha za kikabila
ni vizuri tukiwa na wakalimani ambao watakuwa wanatusaidia kutafsiri lugha ili kila mtu aweze kuelewa na kuchangia maoni yake
lugha ni chombo cha mawasiliano kwa hiyobasi tukiwa na wakalimani jamii nzima itauelewa mradi wetu vizuri na ushiriki wao utakua mzuri pia
language barrier
kuna baadhi ya maeneo wananchi hawajui kiswahili wanaongea kisukuma na kinyamwezi tu kwahiyo mawasiliano yanakua magumu
kupitia wakalimali tunaweza kumaliza kabisa hili tatizo tunapokua kwenye mikutano
July 18, 2012