Envaya

kushawishi na kuihamasisha jamii kuhusu ushiriki wao katika mradi wa pamoja tuwalee

wananchi bado wanauelewa mdogo kuhusiana na mradi wa pamoja tuwalee, wao wanadhani ni jukumu letu sisi maafisa  kuwaleawwkmh

elimu zaidi iendelee kutolewa ili watambue kuwa ni jukumu letu wote kuwalea kama mradi wenyewe unavyo jieleza.

wananchi hawapo serious katika kutambua majukumu yao ya kuwalea na kuwahudumia watoto waishio katika mazinfira hatarishi

un seriousness of the people

wanaelekezwa lakini hawapo makini kufuatilia yale wanayoelekezwa

motisha zitolewe kwa vile vijiji vitakavyokua vinatoa ushirikiano mzuri kwa maafisa wetu

 

18 Julai, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.