Parts of this page are in Swahili. Edit translations
FCS Narrative Report
Introduction
Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
Kuimalisha Uhusiano na Uwajibikaji wa Wabunge kwa Wananchi katika ngazi ya Majimbo
FCS/MG/SC/11/008
Dates: December 2011-February 2012 | Quarter(s): Kwanza |
David Chanyeghea
Project Description
Governance and Accountability
Kuendesha Midahalo ya wananchi katika Majimbo 5 ya Mkoa wa Tanga, Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga. Ambapo wananchi wanapata fursa ya kuongea na viongozi wao na kuchangia mawazo ya nini kifanyike katika kuimarisha mahusiano na kutatua matatizo yanayo wakabili katika Jimbo husika, mbali na washiriki wa midahalo lakini pia kutumia vyombo vya habari (Radio) ambayo wanachi wanapata fursa ya kusikia mdahalo ukiendeshwa moja kwa moja
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Tanga | Tanga | 250 | ||
Kilindi | 250 | |||
Handeni | 250 | |||
Pangani | 250 | |||
Mkinga | 250 |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 500 | 50000 |
Male | 750 | 75000 |
Total | 1250 | 125000 |
Project Outputs and Activities
Kuwa na uhusiano mzuri baina ya Viongozi: Wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji/mtaa watendaji katika Majimbo/Wilaya
Kufanya Midahalo ya wananchi na viongozi katika Majimbo 5, Kilindi, Pangani, Handeni, Tanga na Mkinga.
Midahalo ya Mchakato wa katiba mpya Tanzania katika Majimbo 5, Mkinga. Tanga, Kilindi, Pangani na Handeni iliendeshwa Kati ya Mwezi Januari na February 2012
(No Response)
1. Kuendesha Midahalo Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga 33,200,000
2. Ghalama za Utawala 4,161,000
2. Ghalama za Utawala 4,161,000
Project Outcomes and Impact
Kuwa na mahusiano mazuri baina ya viongozi (wabunge, madiwani, wenye viti wa mitaa na watendaji) na wananchi katika Jimbo/Wilaya
1. Uelewa wa wananchi kuhusu katiba umeongezeka. Wananchi wamejiandaa vyema kutoa maoni yao siku tume ya kukusanya maoni itakapo tembelea majimbo yao
2. Vipaumbele vya wananchi kuhusiana na Mchakato wa katiba mpya kuingizwa kwenye katiba
2. Vipaumbele vya wananchi kuhusiana na Mchakato wa katiba mpya kuingizwa kwenye katiba
1. Hamasa waliyonayo wananchi katika kuleta mabadiliko kupitia katiba
2. wananchi kutokuwa na uwoga tena kuongea mbele ya viongozi wao
2. wananchi kutokuwa na uwoga tena kuongea mbele ya viongozi wao
(No Response)
Lessons Learned
Explanation |
---|
Wananchi wengi hawakuwa wakiijua katiba, mfano mwanachi mmoja katika jimbo la Pangani aliiomba katiba kutoka kwa Muwezeshaji ili angalau aiguse kwa mkono wake naa baadae aliibusu |
Viongozi wa Kuchaguliwa kutokuwa na muda wakujadiliana masuala mbalimbali na wanachi wao |
Wabunge wengi si wawajibikaji katika Majimbo yao, mfano mzuri ni Mbunge wa Pangani ambaye hata wananchi walilalamika kutomuona kwenye mdahalo huo na kusema ndivyo alivyo |
Viongozi wanaogopa kuizungumzia katiba, mfano Mkuu wa Mkoa wa Tanga alikimbia siku ya mwisho kufungua Mdahalo, kwa sababu ambazo awali alisema yuko sagfarini, lakini kwa kuwa tulifanyia mdahalo kwenye Jengo la ofisi yake tulimuona tulipo fika, Mdahalo ulipo anza aliondoka, Mkuu wa Wilaya ya pangani awali alizuia mdahalo usifanyike baada ya kupata taarifa kwa mwenzake wa Korogwe na Kilindi kwamba midahalo ilikuwa na mafundisho mazuri kwao, alituita kufanya katika Wilaya yake na kukiri mwenyewe kwamba awali alikuwa na wasiwasi |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Washirki kutaka kulipwa nauli ya wanako toka | Tuliwaeleza kinaga ubaga kwamba hatuna hiyo bajeti, lakini pia kwamba kushiriki kwao ni kwa faida yao na watoto wao |
Baadhi ya wabunge kutoshiriki hata baada ya kukubaliana tarehe ya Mdahalo kabla ya kuwaandikia | Kwenye majimbo yao tulifanya bila wao kuwepo |
Madiwani kutoshiriki katika Midahalo kwakuwa haina posho | Tumewashitaki kwa wapiga kura wao na sisi kuendelea na mdahalo bila wawao kuwepo |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Asasi za Wilaya/Jimbo husika | Kutupa uzoefu wa eneo (venue) ambayo ni maridhawa kwa Jimbo husika |
Wabunge/Makatibu wa Wabunge | Kupanga ratiba kulingana na ratiba za wabunge katika jimbo |
Wakuu wa Wilaya | Katika wilaya zote wamekuwa Wageni rasmi katika Kufungua midahalo |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
Midahalo ya Ushiriki na mahusiano kati ya wananchi na Wabunge, madiwani na wenyeviti wa Vijiji/mitaa katika maeneo yao | v |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 500 | 50000 |
Male | 750 | 75000 | |
Total | 1250 | 125000 |
(No Response)
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
information sesion | September 2009 | namna ya kuandika miradi inayofadhiliwa na FCS | Tumeandika Miradi ambayo tulifanikiwa kupata ufadhili toka FCS |
Annual Forum | 2009,2010 nq 2011 | Kujifunza toka kwa washiriki wengine namana wanavyo tekeleza miradiyao kwa ufanisi | Kuboresha maeneo ambayo yalikuwa hayako vizuri sana katika utekelezaji wa miradi kulingana na kulingana na mambo chanya tuliyojifunza kutoka kwa washiriki wenzetu |
Simamia mradi wako | December 2010 | Namana ya kusimamia mradi kwa ufanisi na kutoa taarifa zilizo bora | Kusimamia miradi vizuri kulingana na stadi tulizo pata kwenye mafunzo |
Mafunzo ya kushirikishana uzoefu miongoni mwa wafadhiliwa wa FCS | September 2011 | Utunzaji wa Vitabu | Kuboresha na kufanya marekebisho chanya kwenye mfumo wetu wa fedha kulingana na tulicho jifunza |