TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.
18 Agosti, 2011
TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.