IJUE OLAI: Organization for Land and Agriculture Improvement, ni Asasi ya kiraia iliyoasisiwa mwaka 2010 na kupata usajili wake mwaka 2011 katika wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto na kupata namba ya usajili ooNGO/oooo4476. DIRA YA OLAI: Kuwa na jamii yenye mtazamo angavu kwenye nyanja za Elimu, Afya, Ardhi na kilimo, Mazingira, Utawala bora na Haki za binadamu. DHIMA YA OLAI: Kuiwezesha jamii ya Tandahimba na Tanzania, kuzitambua fursa mbali mbali, kushiriki kwa ufanisi ili kuwawezesha kuyaboresha maisha yao. MAWASILIANO: P.O BOX 62 Tandahimba. Simu: 0788715532 / 0654269456. Tovuti: www.envaya.org/olai. Email: olaitandahimba8@gmail.com
24 Juni, 2016