Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Hii ni Nembo ya Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)

12 Kanama, 2015
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (1)

Hassan Luheko Mnaute kiongozi wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI). (Kijiji cha Sokoine, kata ya Chaume, wilaya ya Tandahimba - Mtwara - Tanzania) bavuzeko
Tatizo la migogoro ya Ardhi ni swala ambalo hujitokeza karibu kila kona hapa Tanzania. Ombi langu kwa wananchi, viongozi wa nyanja mbalimbali ikiwa pamoja na serikali, asasi za kiraia, serikali na watu binafsi, na wadau wa sekta ya Ardhi na dini, tushirikiane pamoja kusimamia matumizi bora ya Ardhi, kwa lengo la kupunguza migogoro inayochelewesha shughuli za maendeleo kwa ustawi wa jamii. Ninaomba tuwe pamoja.
2 Mutarama, 2017

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.