Injira
HUDUMA YA AFYA YA JAMII MTWARA
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

NGOME imefungua tawi jingine la klabu ya wanafunzi kama zilivyo klabu zingine za NGOME katika shule za sekondari ya Mikindani na Mitengo. Klabu hiyo ya NGOME imefunguliwa katika shule ya sekondari NDUMBWE Mtwara vijijini. Klabu hizi ni kwaajili ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Stadi za Maisha kwa wanafunzi wa sekondari, ambao hufundishwa na wataalam wa Afya kutoka NGOME na kufundishana wao kwa wao{UELIMISHAJI RIKA} baada ya kupata mafunzo kutoka  kwa wataalam.

23 Nyakanga, 2011
« Inyuma

Ibitekerezo (3)

[Siba igitekerezo]
Juma Mbulu (NGOME-Mtwara) bavuzeko
Katika kupambana na adui ujinga na janga la watu wazima wasiojua kusoma na kuandika,NGOME imefungua darasa la watu wazima katika shule ya msingi Ufukoni katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani.NGOME inaishukuru ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa kwa kuturuhusu kufungua darasa kwenye shule hiyo.
7 Ukwakira, 2011
ulaya nkanyama (ndanda) bavuzeko
hongera kaka juma kwa mafanikio makubwa. kwani nikimaliza nitakuwa mmoja wa waatalamu hapo ofisini.lakini kaka naiomba ngome ije kwanye maafafi yangu mwezi wa 12 tarehe 3 . msalimile kaka makoti .na wanachama wote wa ngome kwani mambo si mambaya
2 Ugushyingo, 2011
AMAJAP mbioni kufunguliwa,get ready Mkuranga na Maeneo yake
7 Nyakanga, 2015

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.