Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

NGOME imefungua tawi jingine la klabu ya wanafunzi kama zilivyo klabu zingine za NGOME katika shule za sekondari ya Mikindani na Mitengo. Klabu hiyo ya NGOME imefunguliwa katika shule ya sekondari NDUMBWE Mtwara vijijini. Klabu hizi ni kwaajili ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Stadi za Maisha kwa wanafunzi wa sekondari, ambao hufundishwa na wataalam wa Afya kutoka NGOME na kufundishana wao kwa wao{UELIMISHAJI RIKA} baada ya kupata mafunzo kutoka  kwa wataalam.

July 23, 2011
« Previous

Comments (3)

[comment deleted]
Juma Mbulu (NGOME-Mtwara) said:
Katika kupambana na adui ujinga na janga la watu wazima wasiojua kusoma na kuandika,NGOME imefungua darasa la watu wazima katika shule ya msingi Ufukoni katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani.NGOME inaishukuru ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa kwa kuturuhusu kufungua darasa kwenye shule hiyo.
October 7, 2011
ulaya nkanyama (ndanda) said:
hongera kaka juma kwa mafanikio makubwa. kwani nikimaliza nitakuwa mmoja wa waatalamu hapo ofisini.lakini kaka naiomba ngome ije kwanye maafafi yangu mwezi wa 12 tarehe 3 . msalimile kaka makoti .na wanachama wote wa ngome kwani mambo si mambaya
November 2, 2011
AMAJAP mbioni kufunguliwa,get ready Mkuranga na Maeneo yake
July 7, 2015

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.