Log in
Newala Youth Network

Newala Youth Network

Newala, Tanzania

Neyone sasa imewafikia vijana 200 na akina mama 100 kutoka katika Kata kumi za wilaya ya Newala kuwapa elimu kuhusu katiba ya sasa na mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

large.jpg

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya FAHAMU ONGEA SIKILIZWA kuhusu katiba kwa vijana yaliyoendeshwa na NEYONE.

Vijana wa NEYONE watembelewa na  BW. OMARI JECHA afisa wa the Foundation for Civil Society