DR JOEL SILAS akielezea juu ya fursa na Miradi inayotekelezwa na UNDP kwa vijana akiwa Misungwi, Pembeni kulia Afisa maendeleo ya vijana [W] Misungwi ,Akifuatilia maelekezo ya Dr. kwa umakini mkubwa.
MR AGAPE TOM mshauri elekezi wa UNDP akifafanua jambo mbele ya wanachama wa Misungwi vijana saccos na jukwaa la vijana wa Misungwi.
November 21, 2013