Injira
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

Zanzibar, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
MEECO

Intego

Kuwa Jumuiya bora ambayo itakayoweza kuleta maendeleo  na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kupunguza umasikini na kufanya maisha bora kwa jamii.

Amakuru agezweho
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Katibu wa MEECO Ndugu Suleiman Jeni Pandu akimkabidhi andiko la Mradi "Uwezeshwaji kwa maendeleo" Mh. Haroun Ali Suleiman, waziri wa kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika kwa ajili ya kuchukuliwa hatua andiko hilo. Makabidhiano hayo yalifanyika ofisini kwake Mwanakwerekwe Soma ibindi
23 Ukwakira, 2012
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) yashyizeho Amakuru agezweho.
Kwa upande wa Asasi yetu ya MEECO nasisi tunatoa salamu za rambirambi kwa familia za ndugu zetu waliopoteza maisha yao katika mafuriko yaliyotokea. Tunapenda kuungana nao kwa hali na mali kwa upande wa shirika letu la envaya tunashukuru sana kwa kuwa karibu na jamii kila linapotokea janga.
25 Ukuboza, 2011
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
29 Ugushyingo, 2011
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) yongeyeho 5 Amakuru agezweho.
Vijana hatarishi katika masuala ya uharibifu wa mazingira kwa kuchimba mchanga walio jaa katika Mji wa Mwanakwerekwe, vijana hawa vilevile hutumia bangi na madawa ya kulevya ili kujipatia vipato vyao na huwa hatari sana kwa wapenda maendeleo kwani huwa wanachukuwa silaha mbalimbali katika harakati zao za... Soma ibindi
26 Nzeli, 2011
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja
23 Nzeli, 2011
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO) yongeyeho 29 Amakuru agezweho.
Vijana wa MEECO talent group nao hawakombali kushiriki katika uhamasishaji wa utunzaji wa Mazingira katika mikoko katika kijiji cha Unguja ukuu
22 Nzeli, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
Zanzibar, Zanzibar yo hagati/y'amajyepfo, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye