Envaya

1.Walimu wa michezo mbalimbali anahitajika kama ifuatavyo;

a: mwalimu wa mpira wa miguu

b.mwalimu wa mpira wa wavu

c.Mwalimu wa maigizo

Walimu wote hawa wawe na elimu ya michezo husika

2. Mwalimu wa mazingira-awe na utaalam wa ubunifu katika kupamba mazingira.

3.Mkufunzi wa scout kwa vijana- awe na elimu ya scout.