1.Walimu wa michezo mbalimbali anahitajika kama ifuatavyo;
a: mwalimu wa mpira wa miguu
b.mwalimu wa mpira wa wavu
c.Mwalimu wa maigizo
Walimu wote hawa wawe na elimu ya michezo husika
2. Mwalimu wa mazingira-awe na utaalam wa ubunifu katika kupamba mazingira.
3.Mkufunzi wa scout kwa vijana- awe na elimu ya scout.