Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
1.Kuwahudumia watoto/vijana walio katika mazingira magumu zaidi ili kuwatoa katika umasikini wa aina nne zifuatazo;
-Kiuchumi;kwakukutoa elimu ya ujasiliamali kwa wazazi/walezi wa mtoto
;kwakuhakikisha mtoto/kijana anapata elimu sahihi
;kwakumpatia kijana elimu ya ujasiliamali pia elimu yakuendeleza vipaji vyake.
-Kiroho: kwakumfundisha mtoto/kijana maadili ya Kiroho ili awe nauhusiano mzuri na Mungu wake.
-Kimwili: Kuhakikisha mtoto/kijana anapata matibabu sahihi auguapo
:Kutoa elimu ya lishe kwa familia anayoishi mtoto/kijana
-Kijamii: Kumfundisha mtoto/kijana namna yakuyatawala mazingira yake pia anavyotakiwa kuhusiana na watu wanaomzunguka.