Fungua
THE LIFE HOOD OF CHILDREN OF DEVELOPMENT SOCIETY

THE LIFE HOOD OF CHILDREN OF DEVELOPMENT SOCIETY

Sumbawanga, Tanzania

Tumeweza kufanikisha mradi wetu katika kata za Kalambazite, Miangalua na Kipeta kuzijengea uwezo kamati za huduma za jamii na wamweza kuanzisha mifuko ya kijamii yenye lengo la kusaidia makundi ya kijamii yalio katika hatar ya kuathiriwa na umasikini

18 Juni, 2011
Ifuatayo »

Maoni (2)

Maoni yetu ni kuendeleza mafunzo haya katika kata zingine na kuendelea kufuatilia maendeleo ya mradi.
18 Juni, 2011
Jamii ikishirikishwa kikamilifu inakuwa na moyo wa kujitolea na kushiriki katika shughuli za maendeleo
18 Juni, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.