Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Lengo kuu ni kustawisha maendeleo kwa vijana walohitimu elimu mbadala katika fani ya Utalii na wakiwemo wafuaji, wapokeaji wageni, na watunzaji nyumba
Latest Updates
Jumuiya ya Vijana Waliyosoma Elimu Mbadala Fani ya Utalii added Voluntary Nature Services (VNS) to its list of Partner Organizations.
April 23, 2012
Jumuiya ya Vijana Waliyosoma Elimu Mbadala Fani ya Utalii created a Team page.
Mwenyekiti Abdulgadir Amin Ahmed – Makamo Mwenyekiti Khamis Abdullah Abdillahi – Katibu Mkuu Fatma Amour Khamis – Naibu Katibu Mkuu Jamila Abdullah Khamis – Mshika... Read more
April 23, 2012
Jumuiya ya Vijana Waliyosoma Elimu Mbadala Fani ya Utalii created a History page.
Imeundwa mwaka 2011 na kusajiliwa 2012. Viongozi ni wa kuchaguliwa katika Mkutano Mkuu na sasa wanaendelea na shughuli zao. Wanachama wote walihitimu kituo cha Elimu Mbadala, Rahaleo, Zanzibar na wana azma yakujiendeleza na kuhimiza vijana wenzao wajitume kwa kupata mafunzo ya amali
April 23, 2012
Jumuiya ya Vijana Waliyosoma Elimu Mbadala Fani ya Utalii joined Envaya.
April 23, 2012
Sectors
Location
Zanzibar, Zanzibar West, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations