Log in
INVEST IN WOMEN ORGANIZATION

Ufuatiliaji wa taarifa za uandikishwaji katika daftari la wapiga kura linaloboreshwa.

INVEST IN WOMEN ORGANIZATION (Dodoma)
June 3, 2015 at 12:10 PM EAT

Invest in Women Organization (IWO), linatoa wito kwa makundi yote ya watanzania waishio mijini na vijijini kuhakikisha kuwa wanafuatilia taarifa ya daftari la wapiga kura limefikia wapi kwenye mkoa, wilaya, kata na vijiji vyake. ni haki ya kila mtanzania kushiriki kwenye zoezi hili, hasa wanawake na vijana.

INVEST IN WOMEN ORGANIZATION (Dodoma)
June 3, 2015 at 12:13 PM EAT

Wenzetu mikoa mingine mmefuatilia daftari hili? kwetu Dodoma tunasikia linaendelea huko vijijini sielewi huku mjini litaanza lini?


Add New Message (Hide)

Loading...
Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.