Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

LENGO:

Kutoa nafasi kwa wanawake viziwi kuwa na mikakati ya kujikomboa kutokana na hali ngumu ya maisha, FUWAVITA inajukumu la kuwawezesha kupata nafasi ya kushiriki katika nyanja mbalimbali hususani ujasiriamali na mahitaji mengine muhimu na pia kuielimisha jamii kuelewa changamoto zao na vipao mbele.

Amakuru agezweho
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) yashyize Abilis Foundation ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
14 Werurwe, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) yashyize Foundation for Civil Society ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
14 Werurwe, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) afite ikiganiro kuri wanawake na ujariamali.
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA): asasi ya fuwavita inategemea kuwa na mafunzo endelevu juu ya ushiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na usindikaji vyakula tunaomba ushauri wako nini kifanyike kabla ya kuanzaa mchakato huo?
14 Werurwe, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) yakoze Imishinga paje.
1.Katika kujenga uwezo wa wanachama – ili kuboresha maisha yao. – 2. Kuendeleza ubia/urafiki na vikundi vya – watu wenye walemavu ambavyo – vinadharauliwa katika jamii – 3. kuwajenga wanachama uwezo wa – kujitangaza na kuwakilisha matakwa – yao kwa kupitia njia za ushawishi hasa ... Soma ibindi
8 Werurwe, 2013
Ibyiciro
Aho uherereye
Dar es Salaam, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye