Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

LENGO:

Kutoa nafasi kwa wanawake viziwi kuwa na mikakati ya kujikomboa kutokana na hali ngumu ya maisha, FUWAVITA inajukumu la kuwawezesha kupata nafasi ya kushiriki katika nyanja mbalimbali hususani ujasiriamali na mahitaji mengine muhimu na pia kuielimisha jamii kuelewa changamoto zao na vipao mbele.

Latest Updates
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) added Abilis Foundation to its list of Partner Organizations.
March 14, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) added Foundation for Civil Society to its list of Partner Organizations.
March 14, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) has a new discussion about wanawake na ujariamali.
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA): asasi ya fuwavita inategemea kuwa na mafunzo endelevu juu ya ushiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na usindikaji vyakula tunaomba ushauri wako nini kifanyike kabla ya kuanzaa mchakato huo?
March 14, 2013
FURAHA YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWA VIZIWI TANZANIA(FUWAVITA) created a Projects page.
1.Katika kujenga uwezo wa wanachama – ili kuboresha maisha yao. – 2. Kuendeleza ubia/urafiki na vikundi vya – watu wenye walemavu ambavyo – vinadharauliwa katika jamii – 3. kuwajenga wanachama uwezo wa – kujitangaza na kuwakilisha matakwa – yao kwa kupitia njia za ushawishi hasa ... Read more
March 8, 2013
Sectors
Location
Dar es Salaam, Tanzania
See nearby organizations