Injira
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA)

CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA)

Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Kuunganisha jamii ya viziwi katika nyanja za utamaduni na kuandaa matamasha mbali mbali ya michezo kwa manufaa ya viziwi wa mkoa wa TANGA.

Kuhamashisha jamii ya viziwi kupenda michezo ili wapate kuibua vipaji vyao na kuwa na vijana viziwi wenye ARI ya kushiriki katika michezo mbalimbali.

Kupigania haki na usawa katika michezo na kuondokana na hali ya unyanyapaa katika michezo na kushirikiana na vyama vingine vya michezo ndani na nje ya nchi.

Amakuru agezweho
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yashyizeho Amakuru agezweho.
TANGAZO. – CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI TANGA-CHAMIVITA. – CHAMIVITA-TANGA kinaomba ushirikiano na wadau mbalimbali ili kuinua ari ya... Soma ibindi
27 Gicurasi, 2014
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yashyizeho Amakuru agezweho.
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI TANGA (CHAMIVITA)TANGAASSOCIATION OF SPORTS FOR THE DEAF... Soma ibindi
4 Gicurasi, 2012
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yakoze Ikipe paje.
DAVID NYANGE- MWENYEKITI – ALLY NASSORO-KATIBU – MWANAKOMBO ATHUMANI- MWEKA HAZINA
19 Mata, 2012
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yongeyeho 5 Amakuru agezweho.
madhumuni ya sera
8 Mata, 2012
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yongeyeho 14 Amakuru agezweho.
KIKOSI CHA CHAMIVITA SPORTS CLUB KILICHOIFUNGA MAKORORA STAR BAO 1-0
25 Werurwe, 2012
CHAMA CHA MICHEZO CHA VIZIWI -TANGA(CHAMIVITA) yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Viongozi watendaji wa CHAMIVITA Mweka hazina Bi mwanakombo Athumani na Mwenykiti wa CHAMIVITA Bwana David Nyange.
21 Werurwe, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Tanga, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye