Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
kuelimisha vijana na jamii kwa ujumla juu ya kupambana na changamoto mbalimbali za kimaisha zinzo wakabili, Aidha BAYOICEN Inalengakuwaunganisha vijanakuweza kupata na kutoa taarifa elimishi kwa vijana wenzao na hata kwa jamii kwa ujmla kwa njia ya sanaa , kituo cha habari kwa vijana, kushiliki katika makongamano ya kijamii na shughuli za kujitegemea
Pia BAYOICEN Inalenga kuwasaidi watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, ushawishi na utetezi wa haki za mtoto
Amakuru agezweho
Bahi Youth Information Centre yasanze Envaya.
16 Werurwe, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Bahi, Dodoma, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye