Parts of this page are in Swahili. Edit translations
kuelimisha vijana na jamii kwa ujumla juu ya kupambana na changamoto mbalimbali za kimaisha zinzo wakabili, Aidha BAYOICEN Inalengakuwaunganisha vijanakuweza kupata na kutoa taarifa elimishi kwa vijana wenzao na hata kwa jamii kwa ujmla kwa njia ya sanaa , kituo cha habari kwa vijana, kushiliki katika makongamano ya kijamii na shughuli za kujitegemea
Pia BAYOICEN Inalenga kuwasaidi watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, ushawishi na utetezi wa haki za mtoto
Latest Updates
Bahi Youth Information Centre joined Envaya.
March 16, 2012
Sectors
Location
Bahi, Dodoma, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations