About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/COEF/topic/25017
: English
Base
English
ARDHI, UWEKEZAJI NA HATMA YA MTANZANIA – Jamani kila kukicha utasikia mwekezaji kapewa maelfu ya ekari za ardhi kwa ajili ya uwekezaji. Ardhi inayotwaliwa ni ile yenye makazi ya watanzania wanyonge. Hali ya kuuza nchi kwa vipande ikiendelea, hatima ya watanzania itakuwaje? Tujadili
LAND, INVESTMENT AND Mahatma TANZANIA – Jamani indeed hour by hour they were an investor, you will hear thousands of acres of land for investment. Land inayotwaliwa is that a weak housing Tanzanians. Situation continues to sell pieces of land, the fate of Tanzanians what? Tujadili
Edit
Wabunge wa kambi ya upinzani wamependekeza posho za vikao vya wabunge zikatwe ili pesa itakayokatwa iwekwe kwenye kasma nyingine za miradiya maendeleo. Makada wa CCM, wabunge na Spika wao hawataki posho hizo ziguswe. Wnasahau yafuatayo: – 1. Kulipwa mara mbili kwa kazi ileile ni ufisadi. – 2. Kipatao wanachokipata kutokana na posho za vikao hakikatwi kodi, na huu ni ufisadi. – 3. Posho wanazopata ni kubwa zaidi kuliko mishahara ya watumishi wengi. ...
Parliamentarians of the opposition camp have suggested allowances MPs zikatwe sessions to be included in the money itakayokatwa kasma miradiya other development. Cadres of the CCM, the legislature and Speaker of them do not want these allowances ziguswe. They forget the following: – 1. Paid twice for the same work is sensuality. – 2. About the chokipata from the forums allowances kikatwi taxes, and this is corruption. – 3. Allowance they...
Edit
Watanzania laleni. Mtajiju
(Not translated)
Edit
POSHO ZA WABUNGE NA KEKI YA TAIFA
Allowances cake NATIONAL ASSEMBLY AND
Edit