Envaya

/COEF/topic/25017: English: dM000D1B4F3612E000025018:content

Base (Swahili) English

Wabunge wa kambi ya upinzani wamependekeza posho za vikao vya wabunge zikatwe ili pesa itakayokatwa iwekwe kwenye kasma nyingine za miradiya maendeleo. Makada wa CCM, wabunge na Spika wao hawataki posho hizo ziguswe. Wnasahau yafuatayo:

1. Kulipwa mara mbili kwa kazi ileile ni ufisadi.

2. Kipatao wanachokipata kutokana na posho za vikao hakikatwi kodi, na huu ni ufisadi.

3. Posho wanazopata ni kubwa zaidi kuliko mishahara ya watumishi wengi.

Wanaharakati tutafakari haya mambo tukiweka maanani kwamba Tanzania sio maskini bali umaskini wa watanzania unatokana na mgawanyo wa raslimali usio wa haki. Keki ya taifa wanakula wateule wachache na kuwaachia wanachi makombo. Tudadili na tutafute mikakati ya kuwezesha watanzania wote kufaidi keki ya taifa na matunda ya uhuru kwa haki.

Parliamentarians of the opposition camp have suggested allowances MPs zikatwe sessions to be included in the money itakayokatwa kasma miradiya other development. Cadres of the CCM, the legislature and Speaker of them do not want these allowances ziguswe. They forget the following:

1. Paid twice for the same work is sensuality.

2. About the chokipata from the forums allowances kikatwi taxes, and this is corruption.

3. Allowance they receive is higher than the salaries of most workers.

Activists will consider these things if we keep in mind that Tanzania is not poor but the poverty of Tanzanians flows and resource allocation unfair. People are eating cake and let a few select people up. Tudadili and we seek strategies to enable all Tanzanians to enjoy the national cake and fruits of freedom with justice.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 15, 2011
Parliamentarians of the opposition camp have suggested allowances MPs zikatwe sessions to be included in the money itakayokatwa kasma miradiya other development. Cadres of the CCM, the legislature and Speaker of them do not want these allowances ziguswe. They forget the following: – 1. Paid twice for the same work is sensuality. – 2. About the chokipata from the forums allowances kikatwi taxes, and this is corruption. – 3. Allowance they...