Fungua

/COEF/topic/25017: Kiswahili: dM000C32E34B4F3000028878:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

ARDHI, UWEKEZAJI NA HATMA YA MTANZANIA

Jamani kila kukicha utasikia mwekezaji kapewa maelfu ya ekari za ardhi kwa ajili ya uwekezaji. Ardhi inayotwaliwa ni ile yenye makazi ya watanzania wanyonge. Hali ya kuuza nchi kwa vipande ikiendelea, hatima ya watanzania itakuwaje? Tujadili

 

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe