Kusaidia watoto wa mitaani wapate malezi ya kifamilia/katika familia, elimu na stadi za maisha.
Kutoa elimu za jamii ipate uelewa na ifahamu wajibu wa kulea watoto yatima katika familia zao, na kuto wapeleka katika vituo.
Pia kuzuia watoto yatima kupelekwa kwa walezi/wazee wasio na uwezo.
Kuhimiza misaada ya serikali na jamii iwafikie yatima katika familia wanazo lelewa.
Mabadiliko Mapya
HELP STREET CHILDREN AND ORPHANS TRUST OF TANZANIA (HESCOTT) imeongeza Habari.
SAIDIA TANZANIA ISIWE TAIFA TEGEMEZI SAIDIA HESCOTT KATIKA KAZI YA KUELIMISHA JAMII ITAMBUE WAJIBU WA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI
21 Novemba, 2011
HELP STREET CHILDREN AND ORPHANS TRUST OF TANZANIA (HESCOTT) imeongeza Habari 2.
VIONGOZI SERIKALI NA JAMII HAWAKO TAYARI KUCHANGIA GHARAMA ZA UTENDAJI WA HESCOTT KUTATUA TATIZO LA ONGEZEKO LA WATOTO WA MITAANI
16 Novemba, 2011
HELP STREET CHILDREN AND ORPHANS TRUST OF TANZANIA (HESCOTT) imeongeza Habari 2.
HESCOTT INAELIMISHA JAMII KUTAMBUA WAJIBU WA KULEA YATIMA KATIKA FAMILIA
1 Novemba, 2011
HELP STREET CHILDREN AND ORPHANS TRUST OF TANZANIA (HESCOTT) imeongeza Habari.
NIMEJIUNGA NA ENVAYA
21 Oktoba, 2011
HELP STREET CHILDREN AND ORPHANS TRUST OF TANZANIA (HESCOTT) imejiunga na Envaya.
21 Oktoba, 2011
Sekta
Nyingine (watoto yatima)
Sehemu
magomeni, Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu