Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations
To have a society which knows their human rights
Amakuru agezweho
Wasaidizi wa kisheria Masasi yashyizeho Amakuru agezweho.
WAKIHABIMA inawatakia wote sikukuu njema ya Christmas na mwaka mpya. Ni matumaini ya WAKIHABIMA kuwa mwaka ujao utakuwa ni wenye heri na mafanikio.
25 Ukuboza, 2016
Wasaidizi wa kisheria Masasi yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
16 Ukuboza, 2016
Wasaidizi wa kisheria Masasi yashyizeho Amakuru agezweho.
WAKIHABIMA kwa kushirikiana na shirika la legal services facility LSF litaendesha mafunzo ya siku moja ya namna ya kuandaa na kuandika andiko la mradi, project write -up. Mafunzo hayo yatafanyika siku ya tarehe 22/11/2016 kenye ukumbi wa kanisa Katoliki parokia ya Masasi mjini. Hii ni kwa mujibu wa maelezo ya mwenyekiti... Soma ibindi
21 Ugushyingo, 2016
Wasaidizi wa kisheria Masasi yashyizeho Amakuru agezweho.
Hamjambo! WAKIHABIMA ilipata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wasaidizi wa kisheria lilioandaliwa na shirika la Legal Services Foundation (LSF) huko Dodoma kuanzia tarehe 24- 25 Oktoba 2016. WAKIHABIMA kwenye kongamano hili ilipeleka wawakilishi 2; Mr Tanmoza Fungafunga- M/kiti na Bibi Mwanaafa Wadi Malenga- Mjumbe wa... Soma ibindi
31 Ukwakira, 2016
Wasaidizi wa kisheria Masasi yashyizeho Amakuru agezweho.
Kikao cha kamati ya utendaji kimeamua kuanzisha darasa lingine lanutoaji wa haki za binadamu – kwenye kata ya Mwena yakilenga utoaji wa elimu ya haki za wanawake na watoto. – Msimamizi wa maunzo wa shirika Bi Tecla Mbawala amebainisha kuwa kazi ya usajili wa washiriki itaanza ambapo Bw. Maurice... Soma ibindi
9 Kamena, 2016
Wasaidizi wa kisheria Masasi yashyizeho Amakuru agezweho.
Kwa mara nyingine tena WAKIHABIMA ilipokea ugeni wa wafuatiliaji wa shughuli za kiasasi – toka LSF ambao walikutana na wanufaika wa huduma za WAKIHABIMA. Wageni hawa Shadrack Maluli na Esther kilembe waliweza kuongea na wananchi 10 (Me 6/ke 4) viongozi wa kata, afisa maendeleo ya jamii na wazee wa baraza la kata ya Mwenge... Soma ibindi
20 Gicurasi, 2016
Ibyiciro
Aho uherereye
Masasi, Mtwara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye