Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
SHIRIKA LA VIYOSO LATOA SEMINA KWA VIJANA MKOANI MOROGORO
Shirika la VIYOSO kwa kushirikiana na shirika la YES IDO yameendesha semina ya ujasiliamali kwa vijana zaidi ya 63 kutoka kata 29 za manispaa ya Morogoro.
Semina hiyo ilikuwa na lengo la kuwajengea uwezo vijana juu ya kujitambua na jinsi ya kuwa mjasiliamali hili kuinua kipata na kuchangia maendeleo ya Taifa.
3 Gicurasi, 2014
Ibitekerezo (1)