Injira
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA

UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA

Kinondoni, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

TANZANIA ELDERS ASSOCIATIO

SHORT TERM AND LONG TERM PLANS SINCE JANUARY 2013

01-SHORT TERM PLANS

  • To expand the existing business by seeking funds both local and foreigner donors.
  • Finding local and foreigner volunteers
  • Establish a good base for developing the association

 

02-LONG TERM PLANS

  • Establishing agriculture activities outside Dar es Salaam.
  • Afforestation
  • Construction of wells for clear water to the areas with shortage of water.
  • Providing an orphans and disables people with good care.
  • Providing education to the elders aim to understand their rights.

 

MIPANGO KAZI YA WAZEE YA MUDA MREFU

Tukifanikiwa kupata wafadhili,wahisani wa kutupatia fedha au vifaa n.k.mipango yetu ni kama ifuatavyo:

AA-Tunakusudia kutafuta ardhi ili tulime mashamba nje ya Dare es salaam ili tuanzishe shughuli za kilimo.

BB-Kuanzisha vitalo vya kupanda mti sehemu mbalimbali nchini.

CC-Kuchimba visima vya maji safi na salama katika sehemu zenye shida kubwa ya maji na kuyauza kwa bei poa nafuu.(hususani vijijini).

DD-Kusaidia watoto yatima na walemavu popote walipo nchini pia na maskini.

EE-Tutashirikiana kwa hali na mali marafiki,majirani na jamii kwa ujumla nchini na nje ya nchi.

Kwa sasa tuna marafiki shiriki hawa:

1)      MOHISPAC FOUNDATION

P.O BOX 77624

DAR ES SALAAM

e-mail. Pvn.ziacharo@yahoo.com

mobile 0716-876742

mkurugenzi mchungaji ziacharo makenya.

2)      Mr. Remmy Raphael

e-mail. remmyraphael@yahoo.com

Ngerengere Bwawani

Pwani.

FF-Uchumi wa wazee ukikomaa kiuchumi na kimapato tutanunua mabasi hususani katika jiji la Dar es salaam Tanzania,kwa kuwabeba wanafunzi,watoto wa kawaida,walemavu na kinamama kwa bei nafuu tutakayo pangiwa na serikali.

GG-Umoja huu wa wazeeTanzania utaendelea kutoa Elimu ili wazee wajue haki zao Tanzania.

HH-Pia kutoa elimu kwa wananchi kwa kuwatumia madaktari na wataalam katika magonjwa hatari kama Ukimwi.n.k

II-Tunawaomba watu binafsi,mashirika ya umma,Taasisi za umma,NGO’s(makampuni binafsi) na wengine wote mtakaoguswa na matatizo ya wazee tunaomba watusaidie popote walipo nchini Tanzania au nje ya Tanzania, na wazee tupo tayari kushirikiana na yeyote.

JJ-Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania upo imara kwani ina katiba/kanuni yake ambayo ndio muongozo wa umoja huu na board yake.

KAULI MBIU YETU

wazee ndugumbi tumeanza tuungeni mkono tusonge mbele”

Mwenyekiti

IDDI   A. MSUMAGILLO

UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA

 

 

MIPANGO KAZI YA UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA

MIPANGO YA MUDA MFUPI NA MUDA MREFU KUANZIA JANUARY 2013

  1. MIPANGO KAZI YA MUDA MFUPI ENDELEVU

AA- Umoja wa wazee na maendeleeo Tanzania inawatafuta na kuwaomba wa binafsi;makampuni binafsi ;mashirika ya umma;mashirika ya kidini;n.k.nchini na nje ya nchi watakaoguswa na umoja huu watusaidie wazee ili wasiwe tegemezi. Tunawaomba misaada ya hali na mali ili wazee tujitegemee.

BB-Tokea 28/04/2014 kwa michango ya wanachama wenyewe,biashara ndogo ya kuuza maji ya kunywa ya chupa na soda.(mradi wenyewe ni mdogo sana) tunaomba mtusaidie.

CC-Tunaendelea kuwaomba wafadhili mbalimbali nchini na nje ya Tanzania NGO’s n.k mtusaidie fedha au bidhaa soda na maji ya chupa ya kunywa na vinavyofanana na hivyo.

DD-Yeyote atakaetusaidia hatajutia fedha au mali yake,kwani uongozi umekamilika.

        i.            Mwenyekiti

      ii.            Makamu mwenyekiti

    iii.            Katibu

    iv.            Naibu katibu

      v.            Muweka hazina

    vi.            Kamati ya utendaji

  vii.            Kamati ya uchumi

  1. Kamati ya utawala,maadili ya Uongozi na usalama upo.

EE-Kauli mbiu ya wazee (Mission)

wazee ndugumbi tumeanza tuungeni mkono tusonge mbele

 

 

 

 

TANZANIA ELDERS ASSOCIATION

INTRODUCTION


The Tanzania Elders Association  estblished on 1st January 2012 with 50 members in Kinondoni district Dar es salaam Tanzania, and got full registration on 11th february 2013 with registration number S.A 18539.

MEMBERSHIP QUARIFICATIONS


  • Being a Tanzanian
  • Having a 50 years and above
  • Both men and women
  • Any condition stated in constitution of the association.

AIMS FOR ESTABLISHMENT

  • Providing good living condition to the elders in Tanzania.
  • solving problems facing elders in Tanzania economicall nad socially
  • corporates with government to help orphans and disables people

OBJECTIVES OF TANZANIA ELDERS ASSOCIATIO

  • Increase number of members
  • welcome any local and foreidners volunteers to finance the association for reaching their goals.
  • being able to help maximum number of orphans and disables peoples
  • to share information with outsider associations to reach the goals
  • to corporate with government on providing assistance orphance and others.
  • to establish agricuture activities for producing cashcrops.
  • increase the existing business.

chalenges facing the association

  •  lack of fund to run both economic and social activities.
  • lack of sponsours to help the organisation in both financially and technically
  • lack of office facilities

LOCATION OF THE OFFICE

STREET:NDUGU/KITEGA(TEXAS)

HOUSE NO:03

WARD:NDUGUMBI

DISTRICT:KINONDONI

REGION:DAR ES SALAAM

COUNTRY:TANZANIA

OFFICE COMMUNICATION:


THE TANZANIA ELDERS ASSOCIATION

NDUGU/KITEGA STREET

P.O BOX 16340

DAR ES SALAAM

TANZANIA.

E-mail:wazeetanzania@hotmail.com

website:www@envaya.org/uwt

telephone number:

+255713-332660-chairman

+255716-584403-vicechairman

+255715-072651-secretary

+255715287526-accountant


 

 

 

 


 

UTANGULIZI

001-Wazee kata ya ndugumbi wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es salam,wameanzisha umoja wao tarehe 01/01/2012 ukiwa na wanachama 53 kwa jina la UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA.

002-Umoja wa wazee na maendeleo umesajiliwa kisheria na msajili wa vyama tarehe 11/02/2013 namba ya usajili ni S.A.18539.

003-Umoja huu pia umefungua benki akaunti katika benki ya wananchi dar es salaam (DCB) tawi la magomeni dar es salaam.

004-Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania unamadhumuni mbalimbali ikiwemo kufanyashughuli mbalimbali za kiuchumi na maendeleo za kujikimu kimaisha,sisi wazeekufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi,kijamii za kimaendeleo kusaidia yatima,walemavu .nk.

005-Umoja wa wazee Tanzania ni umoja wa kitaifa Tanzania wa jinsia zote wanaume na wanawake kuanzia umri wa miaka 50 na kuendelea.Tanzania bara na visiwani kwa raia wa Tanzania tu.

006-Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania kwa wakati huu unajiendesha kwa michango ya wanachama wake.

007-Kwa hivi sasa tumeanzia biashara ya kuuza soda na maji ya kunywa ya chupa.

008-Ofisi yetu na duka letu lipo KAGERA MIKOLOSHINI KATA YA NDUGUMBI WILAYA YA KINONDONI,MTAA WA NGUGU/KITEGA(TEXAS).

NYUMBA NA.03

ANUANI

UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA

MTAA WA NDUGU/KITEGA H/S NA O3

S.L.P 16340

DAR ES SALAAM

TANZANIA

e-mail:wazeetanzania@hotmail.com

Tovuti:www@envaya.org/uwt.

simu:0713 332660-Mwenyekiti

        0716 584403-Makamu mwenyekiti

        0715 072651-Katibu1

        0715 287526-Mweka hazina

 

large.jpg

Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania wakiwa katika moja ya mikutano yao punde walipo tembelewa na viongozi wa manispaa ya Kinondoni-Dar-es-salaam.