Fungua
UNION OF NON GOVERNMENTAL ORGANIZATIONS KILOSA

UNION OF NON GOVERNMENTAL ORGANIZATIONS KILOSA

Kilosa, Tanzania

FCS Narrative Report

Utangulizi

UNION OF NON GOVERNMENTAL ORGANIZATIONS KILOSA
UNGOKI
KUELIMISHA JAMII KUPAMBANA NA RUSHWA KUELEKEA UCHAGUZI 2010
FCS/RSG/03/09/239
Tarehe: JANUARY - MARCH 2011Kipindi cha Robo mwaka: 1
FUIME SIMON ANTONY
S.L.P. 41, KILOSA

Maelezo ya Mradi

Utawala Bora na Uwajibikaji
Mradi huu ulilenga kuelimisha Asasi wanachama kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kwa bahati mbaya fedha zilichelewa kwa hiyo uelimishaji ulifanyika baada ya uchaguzi kwisha.

LENGO LA MRADI
Kuelimisha jamii kupambana na Rushwa.

LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )
I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroKilosaKasiki, Kimamba A Msowero, Dumila, Magomeni, Mbumi, Chanzuru MkwataniKitongoji cha Kasiki, Mbumi, Manzese, Behewa, Magomeni, Kimamba, Msowero, Dumila na mlimani Boma.30
Kigamboni
Kimamba
Uhindini
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake12100
Wanaume18200
Jumla30300

Shughuli na Matokeo ya Mradi

Viongozi 30 toka asasi wanachama wa UNGOKI wameongeza uelewa juu ya Rushwa na Madhara yake.
. Kuendesha mafunzo ya TOT kwa wanachama 30 wa UNGOKI kwa siku 3 juu ya mapambano
dhidi ya Rushwa.
. Ufuatiliaji na tathimini ya Mradi
UTANGULIZI:-
Mradi huu ulilenga kuelimisha asasi wanachama kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010 kwa bahati mbaya fedha zilichelewa kwa hiyo uelimishaji ulifanyika baada ya uchaguzi kwisha.

LENGO LA MRADI:-
Kuelimisha jamii kupambana na rushwa

LENGO MAHKUSUSI ( SPECIFIC OBJECTIVES )

I. Kutoa mafunzo kwa viongozi wa wanachama 30 wa UNGOKI juu ya kupambana na Rushwa.
II. Wanachama viongozi 30 baada ya kupata mafunzo kwenda kwenye asasi zao kuelimisha
wanachama wao.
III. Wanachama wote kwa ujumla wao kutoa elimu kwa jamii katika nafasi mbalimbali juu ya
kupambana na Rushwa.

UTEKELEZAJI WA MRADI:-
Mafunzo juu ya Rushwa na madhara yake yaliyotolewa kwa wanachama 30 wa UNGOKI kwa siku 3 tarehe 31. 12.2010 hadi tarehe 02 .01. 2011 Mjini kilosa.

Mafunzo haya yalitolewa na mwanasheria Ndg Angelus Runji kutoka UNGO MOROGORO.

NAMNA MAFUNZO YALIVYOTOLEWA:-
Washiriki wote walishiriki katika kuchangia mada za Rushwa na madhara yake.

Mwenzeshaji alitoa karatasi kwa kila mshiriki na kumtaka aeleze juu ya aina ya Rushwa anayoelewa na madhara yake.

Baada ya karatasi zilikusanywa na kusomwa. Maelezo yaliyofanana yaliwekwa pamoja.

Leongo la zoezi hili ni kupima ufahamu wa mada kabla ya kuanza mafunzo.

MADA ZILIZOTOLEWA:-
. Dhana ya Rushwa
. Sababu za Rushwa.
. Athari za Rushwa katika jamii.
. Jitihada za Serikali kupambana na Rushwa.
. Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa.
. Mkakati wa kitaifa wa kupambana na Rushwa
. Namna ya kukabiliana na Rushwa
. Umuhimu wa kupambana na Rushwa.

MAKUBALIANO YA MAFUNZO:-
. Kila kiongozi wa asasi atatoa Mrejesho wa mafunzo aliyopata kwa asasi yake.
. Kila asasi iweke mpango wa namna ya kuelimisha jamii.

UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA SHUGHULI YA MRADI:-

Lengo la ufuatilaji:-
. Kuona kama yale tuliyokubaliana yamefanyika katika ngazi ya asasi.
. Kuona kama wananchi wamepata elimu toka asasi zilizopata mafunzo

UFUATILAJI:-
1. HUDESA
2. KAYO
3. MWADETA
4. KIWACHE
5. FLOJIMA
6. WAMAJUKUU
7. KYDA
8. KISE
9. DUDEGRO
10. MYODO

MATOKEO YA UFUATILIAJI:-
Asasi zilifanyiwa ufuatiliaji zilitwekeleza maagizo yote waliyopewa. Kwa mfano:-
Mchungaji wa Anglikana amekuwa anatoa katika mahubili yake kila jumapili katika Kanisa lake elimu juu ya madhara ya Rushwa.

HUDESA walielimisha wanachama wao. Lakini pia wamekuwa wanazungumza maswala ya Rushwa kwa kila mradi wanaotekeleza mfano:- Mradi wa haki ya Kumiliki Ardhi kwa wafugaji na wakulima huko Tarafa ya Gairo mafunzo juu ya Rushwa yalitolewa.



___________
. Utoaji mafunzo - 3,633,000/=
. Utawala - 1,107,000/=
. Ufuatiliaji - 200,000/=

JUMLA - 4,940,000/=

Mafanikio au Matunda ya Mradi

Viongozi 30 toka Asasi wanachama wa Ungoki wameongezewa uelewa juu ya Rushwa na Madhara yake. -
Viongozi 30 wamepata mafunzo juu ya madhara ya Rushwa na wamefanya mikutano kuelimisha asasi zao. Asasi zao kwa njia mbalimbali wanatoa elimu kwa jamii. Jamii sasa wanajitahidi kulinda haki zao zisijitahidi kulinda haki zao zisihujumiwe kwa Rushwa.
Maswala ya Rushwa yanazungumzwa sana katika mikutano ya viongozi wa Serikali. -
Wananchi wengi sasa wamehamasika kudai katiba mpya.
Wananchi wengi wanaamini kwamba serikali iliyopo imeingia madarakani kwa Rushwa na kwa hiyo ina walinda wala rushwa wakubwa wenzao. -
-

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
wananchi wengi bado waoga wa kutoa taarifa kwa TAKUKURU kwa sababu wanahisi nao pia wanashirikiana na watoa Rushwa.
Wakati wa ufuatiliaji wananchi wengi wanasema vita dhidi ya Rushwa ni ngumu kwa sababu wakubwa wanawalinda wala Rushwa wakubwa. Pia kwamba huwezi kupata uongozi wa siasa bila kutoa Rushwa.
-
-
-
-

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Mradi huu ulilenga kuelimisha jamii kabla ya uchaguziViongozi wote wa asasi waliitwa kwenye mdahalo wa uchaguzi ulioandaliwa na UNGO kwa msaada wa FCS .
Fedha zilichelewaHapo walipewa maelekezo kwa ufupi ambayo waliyatoa kwa watu kwa mbinu mbali mbali
Mafunzo yamefanyika baada ya uchaguzi mwezi January - 2011

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo


TAKUKURU Wilaya walialikwa.
Viongozi wote walikiri kwamba Rushwa ni kubwa na wametoa , ahadi ya kushiriki katika mapambano.


Afisa maendeleo Wilaya


Viongozi wote wa Dini waliopo Wilayani walialikwa.

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
-

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake12100
Wanaume18200
Jumla30300
walionufaika wanaume ni 18 na wanawake ni 12 na wengineo wanaume ni 200 na wanawake ni 100

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo usimamizi wa Ruzuku2010Uandishi wa Mradi

Usimamizi wa Fedha
Maarifa yametumika katika kutekeleza mradi huu.

Viambatanisho

(Hakuna jibu)

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.