Katibu wa Ucpg ndugu Isaka Kiangio leo amepokea cd yenye nyimbo mpya za baikoko,mdumange,tukulanga ambazo maudhui yake ni kupinga mila potofu na miaka 50 ya uhuru by:Mwanaisha Yahya-katibu mwenezi-ucpg
8 Novemba, 2011
usambara cultural promotion groupDar es Salaam, Tanzania |
Maoni (1)