Maisha ni kila kitu kwa kila mtu aliyeumbwa na mwenyezi mungu,mabinti wadogo wamekuwa wakipata shida nyingi baada ya kupata ujauzito wasioutalajia , lakini sababu kubwa ni nini?ebu na tuangalie namna ya kuisaidia jamii ya Tanzania juu ya tatizo hili la mimba za utotoni:
wadau naomba maoni yaenu nini chanzo na nini kifanyike