Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Shime wana harakati, tuelimishe jamii. Jamii yetu ya kitanzania bado inahitaji kuelimishwa hasa katika maeneo ya usawa wa jinsia katika elimu, afya uongozi na umiliki wa rasilimali ili tuweze kutimiza dhana ya ukombozi wa wanawake kimapinduzi.
April 27, 2012
« Previous Next »

Comments (1)

tumaini women development association (Kemondo Bukoba Kagera Tanzania) said:
Tuwodea inatoa wito kwa wanawake wote Tanzania nzima, kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni kuhusu mabadiriko ya katiba. Ili sheria zinazo wakandamiza wanawake na watoto zipate kurekebishwa
April 27, 2012

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.