Envaya

05/06/2010

Wanachama walikutana kuangalia uwezekanowa kuanzisha mradi wa pamoja ili waweze kujikimu na ugumu wa maisha.

Kwani mpaka sasa tuna miradi ya mtu mmoja mmoja inayotuwezesha kujikimu na ugumu wa maisha.Kuna wanakikundi wanaofanya shughuli mbalimbali kama

1:Ushonaji

2:Mama lishe

3:Uuuzaji wa mitumba,viatu na mapambo ya nyumbani

4:Usukaji wa nywele

5:Uuzaji wa samaki wa kukaanga na mbogamboga

26 Julai, 2010
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.