TSD inamiliki na kuendesha Shule ya Msingi Buguruni Viziwi kuanzia February 1974 ambayo ni boarding na day na kwa sasa ina wanafunzi 260 chekechea hadi ufundi
Shule ina darasa la chekechea,elimu ya msingi darasa la 1-7 pia ina chuo cha ufundi stadi kilicho sajiriwa na (VETA).
TSD inamiliki ekari 53 eneo la Mlaleni,Wilaya ya Mkuranga,Mkoa wa Pwani.Shamba hili linatumika kama sehemu ya mazoezi ya Kilimo na ufugaji kwa wanafunzi viziwi ili wapate stadi za maisha na ujuzi juu ya kilimo na ufugaji.Mpango wa muda mrefu ni kujenga shule ya sekondari huko mlamleni na kufanya shughuli nyingine za uwekezaji
TSD ina visitors lodge/rest house kwa ajili ya wageni na volunteers wakutoka ndani na nje ya nchi,kama unahitaji huduma hii wasiliana na Bi.Matilda Ngonyani Mkurugenzi TSD 0755 885117 au Bi.Habiba Mhomba-Mweka Hazina 0655403156
TSD ina ukumbi wa mikutano na pia unafaa kwa harusi na shughuli mbalimbali za kijamii.