Injira

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: dM000D7D5E174D6000041000:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kiswahili

Kuanzia tarehe 17 hadi 24 July 2011 Madereva wa magari yanayopeleka mizigo nje ya nchi waligoma kwa kile walichokiita serikali kufumbia macho kwa makusudi tatizo la wenye magari hayo kutowapatia mikataba, kutowaajiri na hata kuwaminya katika posho za kupeleka mizigo hiyo nje huku umri ukienda pasipo kupatiwa ufumbuzi. Kilichotokea baada ya siku 7 waziri wa uchukuzi akafika na kueleza kuwa mgomo huo umeathiri uchumi licha ya njia zilizochukuliwa kutokuwa sahihi, je ni kweli serikali haifahamu kuwa ni mbinu za wafanyabiashara kumaximize profit kwa kutumia njaa za madereva wetu kupewa deiwaka na matokeo yake wanasinzia huku wanaendesha na kusababisha ajali?hivi madereva hawa si ndio kaka zetu, baba zetu na ndugu zetu ambao wakati ukifikia wa kuzeeka wanakuwa hawana pa kujihifadhi halafu tunawazomea kuwa walichezea ujana? au kuna viongozi wenye magari humo katika kampuni hizo za usafirishaji ndiyo sababu masikio yalichelewa kusikia sauti hizo? changia hapa

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe