Base (Swahili) | Kiswahili |
---|---|
kutokana na utandawazi uliopo sasa umekuja na vijana ndio walio upokea kwa kasi zaidi na kujikuta vijana wanafahamu mambo mengi zaidi kuliko wazee misemo na maneno yale ya kificho yaliokuwa yakitumika zamani kuwakanyia wa watoto sasa uwezi tena kumwambia mtoto akakuelawa au kina kwa mfano zamani kijana wa miaka kumi na nane ajui kuhusu maswala ya ngono wakati mwengine mpaka anaoa lakini ajui umo ndani afanye nini lakini sasa hivi mtoto wa mika mnne tayari anajua hata staili mbalmbali za kufanya ngono kwa hiyo ndugu yangu Hamza M.Omar swala ni kuomba mashirika ya kijmii taasisi mbalimali kutoa taalifa sahihi kuhusu utandawazi sasa kila kitu kina faida yake na asara yake asanteni sana |
(Not translated) |