Log in

Translations: Kiswahili (sw): User Content: WI0008938ACF890000079523:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) Kiswahili

DSC00707.JPG
Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao
DSC00762.JPG
Moja ya mabango waliyobeba wamachinga hao
DSC00689.JPG
Wamachinga wakiwazomea polisi eneo la kabwe
DSC00691.JPG
DSC00777.JPG
Maduka yote eneo la mwanjelwa mpaka uyole yamefungwa
DSC00674.JPG
Moja ya gari lililobinuliwa na kuwekwa katikati ya barabara ya mbeya tunduma
DSC00790.JPG
Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji
DSC00448.JPG
DSC00466.JPG
Mmachinga akiwarushia jiwe kwa kutumia manati yaani ni hatari tupu
DSC00506.JPG
Askari wa kutuliza fujo naye akiwarushia bomu la machozi wamachinga wanaoandamana
DSC00524.JPG
Naye mwandishi wetu wa mbeya yetu Joseph Mwaisango alionja joto ya jiwe baada ya kutupwa ndani ya gari ya polisi kwa kosa la kupiga picha matukio hayo ya wamachinga na polisi baadaye aliachiwa na kuendelea na kazi yake
DSC00600.JPG
RISASI ZA MOTO NAZO ZIMETUMIKA KATIKA TUKUKIO HILI
DSC00620.JPG
MABOMU YA MACHOZI NDIYO USISEME KILA MAHALI YAMETAPAKAA
DSC00655.JPG
DSC00585.JPG
Mwenye kofia haya mwenye supu haya kila mmoja alikua anaokoa uhai wake
DSC00667.JPG
Hayo ndiyo maandishi yaliyoandikwa barabarani

kwa ufupi vurugu zinaendelea zimefika uyole kati hali si shwali barabara zimefungwa sasa nizaidi ya masaa 10 hakuna usafiri yati mbeya iringa wala mbeya tunduma habari kamili tutawaketea baadaye
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register