Log in

Translations: Kiswahili (sw): User Content: WI000188E6FC156000079521:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) Kiswahili

DSC01830.JPG
Taarifa zilizotufikia hivi sasa ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro

amekatisha ziara yake wilayani Mbozi na alikuwa njiani kurudi jijini Mbeya kukutana

na wamachinga waliouteka mji tangu asubuhi. Kinachosubiriwa ni iwapo wamachinga

hao watakubali kuongea naye kwani walishatamka kuwa hawataki kumuona.

Muda huu machinga walikuwa wakilazimisha kuingia katikati ya jiji kushinikiza

kuachiwa kwa wenzao wanaoshikiliwa na polisi
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register