Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, ina kidato cha 1-4, shida kubwa ya shule hii ni Madawati, na Waalimu. Tungefurahi kama tungepata walimu wa kujitolea kutoka nchi za nje kwa kupitia exchanging programme.
(Not translated)
In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register