Injira

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: WI0007E33E43D33000120251:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kiswahili

FAMILIA NNE(4) ZAKOSA MAHALI PAKUISHI.

kufuatia mvua kubwa  iliyonyesha tarehe 11 .04 .2012 jijini Dar es salaam imesababisha maafa makubwa katika maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo wakazi wa Mission Msikitini Mbagala  wilaya ya Temeke kukosa makazi baada ya nyumba zao kubomoka kutokana na mvua hizo.Tawa imethibitisha hali hii baada ya kutembelea eneo hili na kujionea tafalani kubwa zilizosababishwa na maji.Wakazi hawa wanailalamikia serikali kwa kutowafikia na kuwapa msaada kwani hata maafa ya mafuriko ya kwanza yaliwakumba na hakuna aliyewapa msaada wakazi hawa wa Mission Msikitini.Pamoja na kuwatembelea wakazi hao wakati wa maafa ya mafuriko ya mwanzo na kuainisha matatizo yao hakuna hatua iliyochukuliwa , hivyo tunaomba taasisi binafsi ,mashirika mbalimbali ,kitengo cha maafa na watu binafsi kwa pamoja kusaidiana ili maisha ya familia hizi yaweze kunusurika.

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe