1.kutoa elimu kwa watoto wenye ulemavu wa akili na viungo. – 2.kusaidia jamii kufahamu haki za watoto. – 3kuendesha semina na mafunzo maalum jinsi ya kuishi na watoto wenye ulemavu wa akili. – 4.kujenga madarasa yenye urafiki na watoto wenye ulemavu wa viungo. – 5.elimu ya mazingira kwa ujumla. | (Not translated) | Hindura |