About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/kioo/topic/40849/add_message
: English
Base
English
Hivi karibuni kumetokea suala ambalo halikuwa limezoeleka katika masikio yetu watanzania ya kutoana nje ya Bunge kwa nguvu licha ya hata kusikia nini mtu huyo alitaka kusema hivi nduguzanguni ninyi mnaojua mambo zaidi ni sawa?
Recently, it was not something that happens in our ears limezoeleka Tanzanian Parliament to kutoana out of power despite even hear what the person wanted to say nduguzanguni you who know what is right?
Edit
Ninavyo fahamu mimi ni kwamba kama Mbunge au wabunge wanavunja kanuni za bunge (kwa mfano kumkatisha mbunge anae zungumza bila ruhusa ya Muheshimiwa Spika au mwenye kiti) basi mwenyekiti anayo mamlaka ya kumfukuza nje ya bunge hata nje ya eneo la bunge, ikiwa ametumia lugha ya shari na kadhalika..
Much I know I was that as MP or MPs broke the rules of parliament (for example kumkatisha MP Son to speak without permission of the venerable Speaker or the chair) then the chair has the authority to dismiss out of parliament even outside the realm of parliament, if he uses the language of evil etc. ..
Edit
HIVI NI HALALI KUWAFUKUZA WABUNGE NJE YA BUNGE?
THIS IS A Valid chase WABUNGE OUTSIDE PARLIAMENT?
Edit