Fungua

/kitwirusec/topic/81137/add_message: Kiswahili

AsiliKiswahili
Tunaomba ufadhili kutoka mashirika yanayosaidia NGOS ili shirika letu liweze kufanya kazi – kikamilifu kwani bado wachanga sana tunahitaji ushirikiano na mashirika yoyote yenye malengo yanafofanana na yetu: – 1.Kuhusu watoto yatima – 2.HIV/AIDS – 3.Mazingira na upandaji wa miti – 4.misaada ya kisheria – 5.Elimu na uendeshaji wa shule(Bila tafsiri)Hariri
OMBI LA UFADHILI (Bila tafsiri)Hariri