Ibitwerekeyeho
Ikarita
Shakisha
Korera ubushake
Inkuru
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Injira
/jeanmedia/topic/19428/add_message
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
Katiba ya sasa inaeleza kwamba Tanzania ni nchi ya kijamaa wakati ukweli halisi hatuko tena kwenye ujamaa.Lakini pia imempa Raisi madaraka makubwa sana.Katiba mpya impunguzie madaraka,baadhi yahamishiwe kwa bunge.Mathalani,CAG na Mkurugenzi wa PCCB na PPRA waidhinishe na bunge baada ya uteuzi na wawajibike kwa bunge.
(Not translated)
Hindura
Ni kweli kwamba Ngao ya ni mashindno ya soka ynayondaliwa na shirika la mpira wa miguu (TFA) yanayoshindanisha timu zilizochukua nafsi ya kwanza na ya pili katikaa Ligi kuu yaa soka Tazania, kwa maadhumuni ya kusaidia watoto yatima, wajane na wegine wahitaji. Lakini tatizo ni kamba pamoja na TFA kutotilia mkazo suala la kusaidia makundi hayo husika, jamii ya watanzania nayo wakiwemo wadau hawajafuatilia kuhusu jambo hilo, kwa kuhoji na kudadisi sababu za kupuuziwa kwa azma hiyo ya awali....
(Not translated)
Hindura
Una habari juu ya mashindano ya ngao ya Hisani yanayoendeshwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kila mwezi wa sita?Je,ni haki yaitwe ngao wakati hakuna senti hata moja inayoingia katika kuchangia jamii kama watoto yatima,wajane na wengineo wanaohitaji...
(Not translated)
Hindura