Base (Swahili) | English |
---|---|
Pamoja na mikutano na wanakijiji wa Singino kule Kilwa lakini tulipata bahati ya kutembelea wajasiriamali ambao wanapata kipato chao kwa njia ya uvuvi wa Maliasili za bahari.Wako duni sana hawana vifaa vya kuvulia na ili kuwatoa huko ni kwa kuwafundisha njia hii ya ufugaji wa samaki wa maji chumvi kwa njia ya kitaalamu zaidi ndio maana tumechukua eneo kwa kushirikiana nao basi tuache mazalia ya bahari yasiharibiwe ovyo kwa vifaa duni na badala yake tutumia njia mbadala ya kufuga kwa maji chumvi lakini kwenye mabwawa.angalia wavuvi hawa Hawa ni samaki wa baharini wanaopatikana huko Kilwa.Tulipata bahati ya kuwala kwa wingi na ni watamu ajabu. Wavuvi wana vifaa duni vya kuvulia Samaki.Tunawasaidiaje jamani Vijana wamechoka na wanarudi bila Samaki kwani wangekuwa na Mashua na vifaa vizuri wasingeonekana katika hali hii
Mama huyu mjasiriamali akikaanga samaki zetu tulizonunua
|
Despite meetings with the village of Singino in Kilwa but we got lucky enough to visit entrepreneurs who earn their income through fishing of Natural Resources bahari.Wako inferior to no equipment fishing and so forth there is to teach this method of fish farming water salt in a professional manner over the area which is why we have taken with them then we should stop breeding sea yasiharibiwe disposal facilities for low and instead sent us an alternative way of raising the salt water but the mabwawa.angalia these fishermen These are marine fish found in Kilwa.Tulipata lucky to eat in abundance and are sweet wonderful. Fishermen are ill-equipped fishing Samaki.Tunawasaidiaje Jamani Young people are tired and they returned without fish because they have well-equipped boats and would not appear in this
This woman entrepreneur if we buy our fish fry
|
Translation History
|