CHACODE ni asasi ya kuwajengea uwezo jamii fursa ya kujitambua uwezo katika masuala ya kiuchumi,Kijamii na Kiutamaduni kwa kutumia rasilimali zilizopo katika misingi ya utawala bora. – Pia kuhakikisha jamii inapata taarifa za maendeleo yake kwa uwazi ili kuchochea maendeleo na uwajibikaji katika jamii,kila mmoja akitimiza wajibu wake maendeleo. – Asasi inakusudia kuwa kiungo kizuri kati ya wadau wa maendeleo na wananchi | (Bila tafsiri) | Hariri |