Fungua

/CHACODE/post/107495: Kiswahili

AsiliKiswahili
Viongozi wa serikali wanajukumu kubwa la kuwahamasisha wananchi kuchangia maendeleo yao,Miongoni mwa viongozi hao ni Mhe.Mbunge wa Bagamoyo Dk Shukuru Kawambwa ambaye ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi stadi amekuwa mstari wa mbele katika kukakikisha maendeleo yanapatikana katika jamii.(Bila tafsiri)Hariri