Base (Swahili) | English |
---|---|
MADHUMUNI1.1.1 Kusaidia jamii wakati wa maafa na/au majanga mbalimbali. 1.1.2 Kusaidia wakati wa shughuli mbalimbali za kijamii na kiutamaduni. 1.1.3 Kubuni program zitakazohusisha ajira rasmi na zisizorasmi zinanohusu uzalishaji Mali na huduma. 1.1.4 Kubuni mikakati mbalimbali itakayoweza kuimarisha maendelao ya Elimu miongoni mwa Wananchi watokao Wilayani Lushoto. 1.1.5 Kuonyesha kwa vitendo katika kuwajali watu walioathirika na kuathiriwa na UKIMWI na WALEMAVU. 1.1.6 Kukuza ajira miongoni mwa Vijana na Wananchi kwa njia ya Kilimo, Ufugaji na Biashara. 1.1.7 Kujenga mahusiano na Taasisi za ndani na nje ya nchi ili kuleta mahusiano kati ya CHAMA na Taasisi husika. 1.1.8 Kuboresha uhifadhi na kuonyesha kwa vitendo katika kujali Ulinzi wa Mazingira. 1.1.9 Kushiriki katika kubuni, kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa. 1.1.10 Kuhamasisha jamii mbalimbali ili kujiunga na vyama vya Akiba na Mikopo yaani Savings and Credit Cooperative Society (SACCOS). 1.1.11 Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano inayohusu maswala mbalimbali ya Michezo na Maendeleo. 1.1.12 Kuhimiza utunzaji wa vyanzo vya Mito, Upandaji wa Miti na utunzaji Mazingira.
1.2 KAZI1.2.1 Kuhamasisha utoaji wa Michango itakayo wezesha Ujenzi wa Shule:Za Awali,Msingi,Sekondari,Vyuo,Vituo vya Afya na Zahanati Wilayani Lushoto pamoja na sehamu mbalimbali za nchi. 1.2.2 Kuhamasisha Uanzishwaji wa Vituo vya kulelea Watoto Yatima,na waishio Mazingira hatarishi.Na Vituo vya Ushauri nasaha kuhusu magonjwa ya Ukimwi. 1.2.3 Kuanzisha Mfuko wa Jamii kwa ajili ya kusaidia Wajane, Wazee, Vijana na Yatima. 1.2.4 Kuainisha na Kuwezesha utekelezaji wa Program za Mafunzo kuendeleza Vijana na Watoto katika kupanua Vipaji vyao maalumu kimichezo. 1.2.5 Kuwasiliana na Mashirika yaliyoko ndani na nje katika kusaidia Madhumuni na Malengo ya CHAMAKIVU. 1.2.6 Kutoa Elimu ya Ujasiliamali kwa lengo la kuboresha Kilimo, Ufugaji, Biashara na utoaji wa Huduma mbalimbali. 1.2.7 Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano mbalimbali inayo husu Maendeleo. 1.2.8 Kuwa Wadhamini kwa Wanachama walengwa wote wa CHAMAKIVU katika uwezeshaji wa Mikopo na/au Utoaji wa Mikopo kulingana na Taratibu za CHAMA. |
1.0 OBJECTIVES 1.1.1 Helping the community during emergencies and / or disasters range. 1.1.2 Support during social activities and cultural. 1.1.3 Creating a program zitakazohusisha formal employment zisizorasmi zinanohusu Mali production and services. 1.1.4 Develop various strategies that can strengthen maendelao the Education among the people that come from Lushoto District. 1.1.5 Demonstrate in caring for people infected and affected and AIDS and disability. 1.1.6 To promote employment among the youth and the people through the Agriculture, Husbandry and Trade. 1.1.7 Building relationships and institutions within and outside the country to bring relations between the parties and institutions involved. 1.1.8 Improving storage and display work in caring Protection Environment. 1.1.9 Participate in the design, planning and implementing various National and International. 1.1.10 Encourage communities to join unions Savings and The Savings and Loans Credit Cooperative Society (SACCOS). 1.1.11 Running Conferences, Workshops, Seminars and Conferences Discussion various issues relating to the color and Development. 1.1.12 To promote preservation of the sources of rivers, planting of trees and Environmental protection. 1.2 WORK 1.2.1 Encourage the provision of contributions that will enable construction of School: Video Initially, Primary, secondary, colleges, health centers and dispensaries District Sehamu Lushoto with various countries. 1.2.2 Encourage establishment of daycare centers are orphaned and living environment will rishi.Na counseling centers about AIDS diseases. 1.2.3 Establishing the Social Fund for supporting Widows, Elderly, Youth and Orphans. 1.2.4 Identify and facilitate the implementation of the Program of Studies develop youth and children in expanding their special talent sport. 1.2.5 Communicating with organizations that are in and out to help Purpose and Objectives of CHAMAKIVU. 1.2.6 Provide Entrepreneurship Education to improve Agriculture, Livestock, Business and the provision of various services. 1.2.7 Conducting Conferences, Workshops, Seminars and Conferences Discussion Development which involves different. 1.2.8 Have all beneficiaries Trustees Members of CHAMAKIVU the facilitation of credit and / or provision of loans according to ASSOCIATION procedures. |
Translation History
|